
Sugu
amesisitiza kuwa, kama wangekuwa wanapenda maendeleo yenu basi wangetekeleza
sera mbalimbali za kuwakomboa vijana, ambazo kwenye makaratasi yao wameandika
tena kiumahiri ikiwemo mipango yao ya ajira walioahidi lakini hakuna
utekelezaji...zaidi zaidi ni ubadhirifu wa fedha kila kukicha ambazo wangekuwa
na mapenzi ya dhati ya kuwasaidia ingekuwa wamewasaidia vijana kwa kiasi
kikubwa, mfano hela wanazolipwa Dowans ni nyingi sana na mzigo kwa Mtanzania na
mbaya zaidi kinachouma mpaka sasa hakuna
mtu ambaye yuko jela kutokana na uzembe
huo uliofanyika”
No comments:
Post a Comment