Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Friday, August 23, 2013

MH. JOSEPH MBILINYI ADHIIRISHA YEYE BADO NI SUGU....

 Wananchi wa Mbeya wakilipuka kwa furaha baada ya kumwona Mbunge wao Joseph Mbilinyi...

 Mh. Joseph Mbilinyi akiwa amekaa meza kuu na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh. Freeman Aikael Mbowe
 Sugu akisimama kwenda kuongea na wana Mbeya jukwaaani..
 aka. "Rais wa Mbeya" akiongea huku wananchi wake wakimsikiliza kwa makini...
 Nyomi lililokuwemo uwanjami hapo wakifurahia jambo kutoka kwa Joseph Mbilinyi..


 Wana Mbeya wakilipuka kwa furaha pale Mbunge wao alipowakebehi wapinzani wake kwamba CHADEMA haing'ooki Mbeya 2015 zaidi zaidi ni lazima wachukue Hlmashauri...

 Mbunge wa Mbeya Mjini akiongea na wananchi wa Mbeya...


 Sugu akimalizia kuongea na Wananchi wa Mbeya na kugeuka nyuma kumkaribisha kiongozi mwingine...

Hapa Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" akimkaribisha Mh. Mbunge Silinde "Sauti ya Simba" aungurume jukwani..

No comments:

Post a Comment