Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Tuesday, August 13, 2013

Baadhi ya wanafunzi waliosaidiwa na Mfuko wa Elimu Mbeya (MBEYA Education TRUST Fund)


Baadhi ya wanafunzi wanaolipiwa ada na vifaa vingine vya shule na mfuko wa elimu mbeya walipofika ofisi za mfuko huo Mbeya (mfuko wa elimu mbeya ulioanzishwa na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi kwa nia ya kusaidia wanafunzi wanaotoka familia zenye uwezo mdogo kiuchumi jijini mbeya)

No comments:

Post a Comment