Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Friday, August 23, 2013

MBWEMBWE ZA CHOPA YA CHADEMA ZAWAPAGAWISHA WANA-MBEYA: TAZAMA HATUA KWA HATUA...Ilikuwa kama sinema

 Mwanzo ilionekana kwa juu sana ikipita kwenye anga la Mbeya...

Ikarudi ikipita huku ikiwa imesogea zaidi...


 Wananchi wa Mbeya wakiitazama wakati inaanza kutua....
 Chopa hapo inaongozwa kutua...
 Chopa ikikaribia ardhi...
 Hapo ikiwa tayari imetua ardhini...
 

 Hapo imeanza kuonekana vizuri...
 Mbunge Joseph Mbilinyi akiwa na viongozi wa CHADEMA Mbeya tayari kupokea wageni..


 Rubani akifungua mlango wa Mwenyekii wa CHADEMA Freeman Mbowe....

 Viongozi wa CHADEMA Mwenyekiti Freeman Mbowe, Mbunge Tundu Lisu na Mbunge Silinde wakishuka...

 Hapo Mwenyekiti na Viongozi wengine wa Chama wakianza kuelekea Jukwaani..
 

 Ilikuwa tabu kwa Mwenyekiti na viongozi wengine kuelekea jukwaani watu walijaa wakitaka kushikana mkono na viongozi....


Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akijiandaa kukaa jukwaani

 Wananchi wa Mbeya wakiwa makini kusikiliza hotuba mbalimbali za viongozi huku Chopa ikionekana kwa mbali...
 Baadaye Mwenyekiti Freeman Mbowe akakaribishwa na Tundu Lisu jukwaani...
 Wananchi wakishangilia baada ya Mwenyekiti kabla ya kuhutubia, kutangaza kuwa ameamua kulala Mbeya na ataondoka kwa maandamano hivyo Chopa iondoke..



 Watu wakigeuka nyuma kuiangalia Chopa inavyoanza kunyanyuka...
 Chopa ikiwa imeganda hewani tayari kwa kuondoka...
Chopa ikipita karibu na jukwaa huku Mwenyekiti na wananchi wakiitazama inaondoka...

 Ghafla ilirudi kwa mbwembwe na kufanya Mwenyekiti kuacha kuhutubia na kuitazama inavyoishia..

 Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa akicheka bada ya Chopa kuishia kwa mbwembwe eneo la mkutano...
 Mh. Freeman Mbowe akaendelea kuongea na wananchi wa Mbeya kuhusu umuhimu wa kushiriki kwao katika zoezi la utengenezaji katiba mpya...


No comments:

Post a Comment