Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Saturday, September 24, 2011

MVUA KUBWA HAIKUWA KIKWAZO KATIKA MKUTANO WA MBEMBELA BALI MAFANIKIO MAKUBWA


Peoples!!!!!!!!!!!!!!!................POWER!!!!!!!!!!!!!!!!....

Mh Naomi kaiyula akiwasalimia wakazi wa Mbembela

Mh Sugu akiwa salimia wana mbeya kwa salam ya chama kabla haja mnadi mgombea udiwani kata ya Nzovwe

Mvua sikikwazo sisi tunafanya mkutano hivyo hivyo tofa uti na wenzetu walio kimbia na kutelekeza mkutano wao kama inavyo onekana hapo jini

mkutano ulio telekezwa katika viwanja jirani na mkuta wa CHADEMA KATIKA eneo hilo hilo la Mbembela

Umati mkubwa wa watu ulio jitokeza katika eneo la mkutano bila kujali Mvua iliyo kuwa ikinyesha wakati huo

Chademaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!..................Vemaaaaaaaaaaaaaa

Sugu aki mnadi mgombea wa udiwani kata ya Nzovwe

Katibu wa mbunge Bwana fredric maliki (MKOLONI ) na hakuwa nyuma kuwa elimisha wanambeya kwa kuwapa kipande kifupi cha wimbo wake mpya Kauli bila vitendo

1 comment:

  1. Big up sugu mzalendo wa ukweli your the revolutionary fighter ni mimi
    geofrey francis
    working at jigambe technologies
    site yetu www.jigambe.com
    nakusupport sana.

    ReplyDelete