Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Friday, September 23, 2011

SOKO LA SIDO LA NYANYUKA KAMA UYOGA

Taswira mpya baada ya siku sita toka soko lilipo teketea kwa moto na 
ujenzi wa vibanda ukiendelea kwa kasi ya ajabu
Mh Mbunge akisalimiana na moja kati ya wahanga wa ajari ya moto katika soko la Sido

Wahanga wakitoa maoni yao juu ya nini kifanyike ili soko lirudi katika hali yake kama zamani
Baadhi ya wafanya biashara wakubwa sokoni hapa wakizungumza na Mbunge wao Joseph Mbilinyi
Akina mama nao hawakuwa nyuma kutoa shukrani zao kawani ni upendo wa ajabu kutembelewa na Mbunge katika maeneo yao ya biashara haswa sokoni



Jamani poleni na shuhuri ya ujenzi

Jamani poleni na shuhuri ya ujenzi




lundo la mabaki ya takataka haswa mabati katika njia za kuingia sokoni hapa

Sugu akimwambia Mh Diwani wa forest ahakikiswe usafi unafanyika ili watu wapate njia ya kupitisha magari na kuingiza bidhaa zao kwa urahisi

Mh Joseph Mbilinyi akiendelea na ukaguzi sokoni

mafundi waki endelea na kazi ya kuchomelea nguzo za makontena



moja kati ya majeneleta yanayo tumika katika shuhuri ya kuchomelea makontena sokoni hapa

No comments:

Post a Comment