Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Wednesday, September 14, 2011

MGAMBO WA MBEYA

ENEO LA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA

Askari wa Jiji la Mbeya wakitoa Plate Numbers kwenye Magari yanayoegeshwasehemu zisizoruhusiwa


                                       Hapa Jamaa alikuwa ananizuia Eti mpaka niwaombe Ruhusa ya kupiga Picha
                                           Haya nimepata Ruhusa.., Mgambo Kazini
 Ukiitazama Vizuri picha hii utaona kibao chenye Alama inayoashiria Hairuhusiwi kuegesha Gari eneo hili

1 comment:

  1. Sheria inasemaje kuhusu kutoa namba ya garı?
    Maana nijuavyo mimı polısı aruhusıwı kubandua stıka wala plat no
    karıbunı
    www.gshayo.blogspot.com

    ReplyDelete