Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Tuesday, September 13, 2011

MHESHIMIWA JOSEPH MBILINYI AENDELEA NA ZIARA ZAKE KATIKA JIMBO LA MBEYA MJINI NA KUTOA MISAADA


Kabla ya Ziara Mheshimiwa MBUNGE anakutana na Wananchi Ofisini kwake na Kuzungumza nao



  
Ofisini kwa Mh.Mbunge Joseph Mbilinyi akisikiliza shida za Wananchi kabla hajaanza Ziara

                                                                                Mh.Joseph Mbilinyi akipokelewa na Viongozi Mbalimbali wa Kata ya Itende   

Utambulisho na Maelekezo Mbalimbali kabla hajaanza Safari ya Kwenda kuangalia Miradi ya Maendeleo likiwemo Daraja ambalo limekuwa Kikwazo cha Mda mrefu kwenye Kata hiyo

Mh.Sugu akiongozana na Mamia ya Wananchi waliojitokeza kumlaki akielekea Ofisi ya Diwani ili kufanya nae Mazungumzo

Sugu akivuka Daraja ambalo wananchi walimuomba Msaada wa kulitengeneza.,


Mamia ya Wakazi wa Kata ya Itende wakimsindikiza Mbunge wao hadi Ofisi ya Kata

 Nje ya Ofisi ya Kata.., Kuanzia kulia ni Katibu wa Mbunge Mkoloni,

Viongozi mbalimbali wa CHADEMA na wa Kata ya Itende nje ya Ofisi ya Kata ya Itende


Ndani ya Ofisi ya Mtendaji

Diwani wa Kata ya Itende (CCM) akipokea Msaada wa Pesa toka kwa Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (CHADEMA) ili kukamilisha Ujenzi wa Daraja ambalo limekuwa kikwazo kwa Mda mrefu

Wananchi wakitamani kuingia Ofisini kwa Mtendaji ili kukaa na Mbunge wao

Dirishani nako ni Kundi la Watu

Mazungumzo ya hapa na pale na shukrani

Mamia wakiondoka Ofisi ya Kata na Kumsindikiza Mbunge wao hadi lilipo Daraja., kila mtu alikuwa akiimba vile ajuavyo.!! ila Neno kubwa "Asante Sugu"

Diwani wa Kata ya Itende (CCM) Mh.Weston Kibona akitoa Maelekezo kwa Mbunge wa Mbeya Mjini
 Mh.Sugu akitoa Maagizo kwa Diwani na Wananchi kukamilisha Daraja hilo haraka ili shughuli za Kimaendeleo ziendelee kwani ameshatoa Kiasi cha Pesa kitakacho weza kukamilisha Ujenzi huo
Akipokea Maoni na Maswali na Shukrani kutoka kwa Wananchi


 "Tushikamane ili kuleta Maendeleo"


Mh.Mbunge na Mamia ya Wakazi wa Itende

Na sasa tumsindikize Mbunge wetu

 Akisalimiana na Wazee wa Kata ya Itende

 Kutoka kulia ni Chris Mwamsiku Katibu wa CHADEMA Mbeya Mjini,Mh.Sugu na Diwani wa Itende Weston Kibona

"Asante sana Mh.Mbunge nakutakia Safari njema na Uje Siku ya Ijumaa kukagua kumalika kwa Ujenzi wa Daraja hili Maana umetupa Msaada Mkubwa sana ambao sisi tulikwama"-Weston Kibona Diwani(CCM)

"Waoooh Mbunge wetu., Karibu sana na tumefurahi kukuona.!!"
Mh.Sugu akikagua Majengo amabapo Ofisi za CHADEMA zitajengwa, aliahidi kutoa Mchango katika Ujenzi huo pia
Mazungumzo na Viongozi

Kila Mmoja alikuwa bega kwa bega kwa kila Hatua aliyopita Mbunge
Njiani ni Salam kwa kila Mmoja
Bomba la Maji Masafi la SOGEA SATOM linaloaminika kutatua Matatizo ya Maji Jijini Mbeya likiwa limepita Maeneo ya Itende

 Salam Sugu

Maeneo ya Stand ya Pikipiki (Bodaboda) Mh.Sugu alisimama Kuzungumza na Vijana wa Eneo hilo

No comments:

Post a Comment