Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Friday, September 23, 2011

MGENI RASMI KATIKA MAAFARI YA KIDATO CHA NNE KATIKA MOJA YA VITUO VYA ELIMU HAPA JIJINI

 Mh Joseph Mbilinyi akiwa hutubia wanafunzi wa KIHUMBE education center katika mahafari yao ya kwanza tangu kuanzishwa kwa kituo hiki cha elimu.
 Wahitimu wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mh mbunge shuleni hapa
 Akiwa sisitiza wanafunzi wasi lizike na elimu walioipata shuleni hapo nahivyo kuto choka kutafuta elimu kwani ndio ufunguo wa maisha yao
picha ya pamoja na watumishi wa KIHUMBE

Akipata picha ya pamoja na wahitimu wa kidato cha nne shuleni hapo mara baada ya kumaliza ugawaji vyeti

No comments:

Post a Comment