Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Friday, August 27, 2010

SUGU KUHUDHURIA JANGWANI NA HAFLA YA WANA MBEYA

Joseph Mbilinyi (Mr II SUGU)
Mgombea Ubunge wa jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi leo jumamosi tarehe 28 Agosti, atakuwepo katika viwanja vya jangwani katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kitaifa, kisha jioni hii atahudhuri hafla ya kubadilishana mawazo ya Wana Mbeya na rafiki zao itakayofanyika kuanzia saa 1.00 jioni katika ukumbi wa Ballers Club - Namanga (zamani Shivas).

No comments:

Post a Comment