Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Monday, August 30, 2010

MATUKIO YALIYOJIRI UZINDUZI CHADEMA KITAIFA - JANGWANI


                              maelfu ya wanachadema waliofika katika viwanja vya jangwani leo.


                                             Msanii G- Solo akishambulia jukwaa leo.

Msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya na Mgombea Ubunge kwa tiketi ya chama cha CHADEMA jimbo la Mbeya mjini,Joseph Mbilinyi a.k.a Mr II a.k.a Sugu akiimba moja ya nyimbo zake ujulikanao kwa jina la ‘Sugu’ ambao ulionekana kuwachangamsha vijana wengi waliofika viwanjani hapo jioni ya leo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya chama hicho pamoja na Ilani yake

                                   moja ya vioja vilivyokuwepo katika viwanja vya jangwani leo

Mmoja wa Wasanii wa muziki wa kizazi kipya,Mkoloni ambaye pia ni Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akisoma lisala fupi kwa niaba ya Wasanii wenzake kuhusiana na mambo mbali mbali yanayoikumba anga ya muziki na wanamuziki wenyewe,Mkoloni baadae lisala hiyo aliikabidhi kwa mgombea Urais wa chama hicho Dr.Willbroad Slaa.

No comments:

Post a Comment