Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Friday, September 20, 2013

SUGU AWAAGA MASHABIKI WA MBEYA CITY....

  •  Ni baada ya Kukamilisha Ahadi ya Kugharamia baadhi ya gharama ikiwemo Usafiri na Viingilio
  • Inakwenda kucheza na Simba Sports Club...Jumamosi jijini Dar es salaam
      Ni Shangwe Mbunge wa Mbeya Mjini alipokutana na washabiki Mbeya City ili kuwaaga..
  Mh. Joseph Mbilinyi akibadilishana mawazo na Wana Mbeya wanaoelekea kwenye mtiti Dar...
 
  Joseph Mbilinyi  almaarufu kwa jina " Rais wa Mbeya" akiwapa mawaidha mashabiki kabla ya safari yao ya kwenda kuishangilia Mbeya City, Dar es salaam
 
 Tayari wapenzi wa Mbeya City wanachanja mbuga hapo ni mpaka wa Mbeya na Iringa...

No comments:

Post a Comment