Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Thursday, September 19, 2013

SUGU APIGA TAFU MASHABIKI MBEYA CITY....AMERIPOTI BIG SHAH KWENYE FACEBOOK....

Mheshimiwa Sugu ametoa 1.5 milion na Kiingilio kwa watu 50,
Kuchangia mashabiki wa Mbeya City watakaoenda
Kushuhudia Tukiwafunga Simba pale Taifa siku ya Jumamosi.
Mashabiki mnaopenda kwenda Muone Raysa 714786087.
Mbeya City Stand Up!

No comments:

Post a Comment