Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Wednesday, May 11, 2011

Mama wa mtoto mwenye matatizo ya kutokuwa na sehemu ya kutolea haja kubwa akipokea msaada wa Tshs 600,000/= kutoka kwa Mh Joseph O Mbilinyi Mbunge wa Mbeya mjini ili aweze kumpeleka Hospitali ya Peramiho kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji kwa mujibu wa gharama hiyo ambayo Mama huyo alielezwa ikipatikana ndio ataweza kufanyiwa upasuaji. Mungu atamsaidia atapona!

No comments:

Post a Comment