Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Wednesday, May 11, 2011

Mh Joseph O Mbilinyi Mbunge wa Mbeya mjini akiwa katika moja ya zira anazoendelea kuzifanya na hapa akiwa katika uwanja unaoendelea kujengwa wa Songwe International Airport uliopo Songwe-Mbeya. Katika picha anaonekana akipewa maelezo na Meneja mradi huku wakiwa wamesimama eneo la runaway ambalo tayari km 2 zimewekwa lami na ujenzi bado unaendelea......kwa maelezo ya meneja mradi kufikia mwezi wa 8 tayari uwanja utakuwa umekamilika na kazi inayobaki ni kwa serikali kukamilisha taratibu za ofisi na mambo mengineyo.

No comments:

Post a Comment