Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Wednesday, May 11, 2011

Mh Joseph O Mbilinyi{MP} akiwa katika moja ya ziara zake jimboni Mbeya,hapa alikuwa ametembelea MBEYA DRY PORT na kujionea mazingira yake pamoja na kujadiliana na uongozi kujua ni kwa nini kituo hakifanyi kazi kwani ni moja kati ya sehemu ambayo ingeweza kutoa ajira zaidi ya 300. Kulia ni mkurugenzi wa kituo hiko na kushoto kwa Mbunge ni Fuel Depot manager Mr Suleiman Issa Soloka,akifuatiwa na Mrs Tabu Kaihula......hapa wakiangalia na kuteta jambo juu ya crane ya kunyanyulia containers.

No comments:

Post a Comment