Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Wednesday, May 11, 2011

Mh Joseph O Mbilinyi Mbunge wa Mbeya mjini akiwa katika ziara ya kituo cha utafiti cha NIMR kilichopo Mbeya mjini ndani ya Hospitali ya rufaa,kama anavyoonekana akipata maelezo kutoka kwa Managing dector wa MMRP Mr Leonard Maboko. Baada ya hapo alitembelea maabara zote zilizopo kituoni hapo na kujionea shughuli za utafiti pamoja na kupata maelezo ya kina kuhusiana na shughuli zinazofanywa na kituo hiko

No comments:

Post a Comment