Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Tuesday, September 25, 2012

MH. SUGU ALIPOKUTANA NA BARAZA LA WAZEE WA CHADEMA - MBEYA MJINI LEO

 
Mbunge Joseph Mbilinyi "SUGU" akitoa taarifa ya utekelezaji wa kazi zake kwa baraza la wazee wa CHADEMA Mbeya mjini aliokutana nao leo tarehe 25/09/2012 jijini Mbeya
Wazee wakimsikiliza Mbunge.....
Wazee walipata nafasi ya kutoa maoni na kuuliza maswali...
Mzee Mwaigomole akitoa nasaha zake kwa Mbunge
Mwenyekiti wa baraza la wazee Mbeya mjini Mzee Mwakagenda akifunga mkutano wa wazee na Mbunge
 
 
Mbunge akiagana na wazee ikiwa tayari ni usiku

No comments:

Post a Comment