Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Thursday, September 20, 2012

TUKO BIZE JIMBONI..... JIJINI MBEYA NI KIKAZI ZAIDI!

 Soko jipya la Mwanjelwa ambalo linaendelea kujengwa kama linavyoonekana ambalo likikamilika linategemea kuwa kitovu cha biashara cha nchi za kusini mwa Afrika
 CENTURY PLAZA - Mwanjelwa Mbeya
 Hapa ndio Kabwe....... ulipoanzia mtiti wa Machinga na kumalizikia..
Moja ya Mabanda ya Wamachinga yanayojengwa pembezoni mwa soko la Mwanjelwa na standa ya Kabwe..... Ahsante Halmashauri ya jiji la Mbeya kwa kuyafanyia kazi mawazo ya Mbunge

No comments:

Post a Comment