| Kizalendo zaidi |
| Jikoni hapo tayari kwa kuliwa |
| King Kiboya pamoja na Dj BBG |
| Daniel Kamili ( Danny Msimamo) Na Dotto wa Mapacha |
| Mwenyekitu wa CHADEMA wilaya ya Mbeya Mjini John Mwambigija akisalimiana na mwenyeji wake Mh Sugu |
| Mbunge na marafiki |
| Marafiki kutoka Mbeya Cement Campany |
| Mh Diwani wa kata ya Forest Boidi Mwabulambo akisema mawili matatu |
| Wafanya biashara wa Mbeya ambao pia ni marafiki walikuwa na neno lakusema |
| Mc wa shuhuri hii Bwana Fredric Maliki AKA Mkoloni akisisitiza jambo |
| Tuka uanza mwaka kwa kufungua shampeni 12 tuki ashilia mwaka 2012 |
| Mh sugu akishow love na kina dada pia |
No comments:
Post a Comment