Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Monday, January 9, 2012

PARTY WITH MP NA MARAFIKI ZAKE WAKIANZA MWAKA MPYA WA MATUMAINI KWA WANAMBEYA KIELIMU BAADA YA KUANZISHA MFUKO WA ELIMU WA JIMBO LA MBEYA MJINI

Kizalendo zaidi


Jikoni hapo tayari kwa kuliwa

King Kiboya pamoja na Dj BBG

Daniel Kamili ( Danny Msimamo) Na Dotto wa Mapacha

Mwenyekitu wa CHADEMA wilaya ya Mbeya Mjini John Mwambigija akisalimiana na mwenyeji wake Mh Sugu


Mbunge na marafiki

Marafiki kutoka Mbeya Cement Campany

Mh Diwani wa kata ya Forest Boidi Mwabulambo akisema mawili matatu

Wafanya biashara wa Mbeya ambao pia ni marafiki walikuwa na neno lakusema

Mh Joseph Mbilinyi akiwatakia heli ya mwaka mpya marafiki pamoja na wageni wengine alipopata nafasi ya  kuwa elezea juu ya mfuko wa elimu unao kwenda kuanzisha ujilikanao kana Mbeya Educational Trust Fund kama tumaini jipya kwa Wanambeya 

Mc wa shuhuri hii Bwana Fredric Maliki AKA Mkoloni akisisitiza jambo

Tuka uanza mwaka kwa kufungua shampeni 12 tuki ashilia mwaka 2012

Mh sugu akishow love na kina dada pia

No comments:

Post a Comment