Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Tuesday, January 10, 2012

DR SLAA AINGIA JIJINI MBEYA, NA KUPATA MAPOKEZI MAKUBWA KUTOKA KWA WANAMBEYA

Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mh Joseph Mbilinyi akimkaribisha Dkt Slaa jimboni kwake 

Mbunge wa Mbozi magharibi Mh David Silinde akisalimiana na Dkt Slaa 



Dkt Slaa, Mh Sugu na Mh David Silinde 

Umati mkubwa ukishangilia kwa furaha

Maelfu ya wakazi wa jiji la Mbeya wakimshangilia Dkt Slaa katika eneo la Mwanjelwa




No comments:

Post a Comment