![]() |
| Wakazi wa Ikuti wakimsikiliza kwa makini Mbunge wao mara baada ya kuwasili eneo lililo athiliwa na mafuriko |
![]() |
| Ukaguzi na tathimini ya madhala ukifanyika kwa ushirikiano wa wenyeji wetu |
![]() |
| Moja kati ya maeneo yaliyo kuwa na nyumba ambazo zilivunjika kabisa |
![]() |
| Mh Mbilinyi akimpa pole mama huyu baada ya nyumba zake mbili kubomoka |
![]() |
| kuta mmoja uliobaki wa nyumba hii iliyogeuka njia ya maji wakati wa mafuriko |
![]() |
| Mh Joseph Mbilinyi akitoa pole kwa wakazi wa Ikuti |
![]() |
| Mh Sugu akimpapole kiongozi wa kijiji kwa maafa yaliyo mpata |
![]() |
| madhara ya mvua zinazo endelea |
![]() |
| Moja kati ya kuta zilizo sombwa ma mafurika Jijini hapa |









No comments:
Post a Comment