Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Sunday, December 11, 2011

MAELFU WAJITOKEZA KUPATA ELIMU YA URAIA JUU YA MCHAKATO WA KATIBA MPYA

WanaMbeya wakisiliza kwa makini hoja zilizo kuwa zikitolewa na mmoja wa wanachi aliye kuwa akiuliza swali

Mgeni rasi wa konga mano hili mh Joseph Mbilinyi pamoja ma wato maada wakuu mama kaiyula na Bw Basil Rema


Mh Sugu akizungumza na wana Mbeya walio jitokeza kupata elimu juu ya mchakato wa katiba mpya

umati mkubwa wa wanachi wakitoka katika ukumbi ambamo lilikuwa likifanyika tamacha hilo lililo anza saa 4:00 asubuhi mpaka saa 12:30 jioni

No comments:

Post a Comment