Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Monday, January 30, 2012

MH SUGU AUNGURUMA KWA KISHINDO KIBAHA MAILI MOJA

Mh Joseph Mbilinyi akihutubia maelfu ya wakazi wa Kibaha Maili Moja  katika mkutani wa hadhala,Mkutano huu ulikuwa ufanyike tarehe 14 mwezi wa kwanza na kuhailishwa kutokana na Msiba wa  Mh Regia Mtema

Kamanda John Heche Pale Kibaha katika mji mdogo wa Maili Moja 

Mkutano huu ulizaa matunda ya baada ya aliyekuwa katibu wa ccm kata ya maili moja akichukua kadi ya chadema

1 comment: