Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Tuesday, October 26, 2010

TUKIWA ENEO LA SAE AMBALO NMDIKO MHESHIMIWA JOSEPH MBILINYI AMEKULIA NA KUISHI KWA MUDA MREFU

 MR II akisisitiza jambo wakati wa mkutano
Huyu jamaa ni mfano mzuri wa jinsi ya kutunza kitambolisho chako chakupigia kura kama anavyo oonekana katika picha hapo juu
Wakazi wa SAE wakisha ngilia jambo wakati wa mkutano

Umati mkubwa wa wakazi wa SAE walio jitokeza kumsikiliza na kumuunga mkono MR II ( SUGU ) 
Mamia ya watu walio fika kumsikiliza  JOSEPH MBILINYI ( MR II )

No comments:

Post a Comment