Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Tuesday, October 19, 2010

MAELFU WAJITOKEZA KUMUUNGA MKONO JOSEPH MBILINYI (MR II ) KATIKA MKUTANO ULIOFANYIKA MWANJELWA MBEYA


JOSEPH MBILINYI akihutubia maelfu ya watu hapa mwanjelwa 
 Maelfu wakishangilia kwa furaha anayozungumza bwana JOSEPH MBILINYI
 Hapa yalikuwa maandamano ya kumsindikiza SUGU nyumbani haija wahii kutokea kama hivi katika historia ya Mkoa wa mbeya
 Wananchi wakichangia kampeni za sugu hapa mwanjelwa

 Umati mkubwa wa watu ambao haujawahi kujazwa na mgombea yoyote hapa jijini mbeya ila SUGU ameweza kuujaza

 MR II akiongea na wananchi wake katika kampeni hapa Mwanjelwa

No comments:

Post a Comment