Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Sunday, November 20, 2011

UJUMBE WA SUGU LEO

"naingia maelezo kwenye press,then naingia barabarani off to mbeya kesho ni siku yangu ya mahakama...jumatano narudi dar kumalizia promo ya concert ya nov 26 kwa kadri ya ratiba nitakayopangiwa na vinega...its kind'a hard being SUGU!!!"
Kwa kukumbusha tu Kesi ya Mh. Joseph Mbilinyi inasomwa tena Kesho tarehe 22-11-2011 Mahakama ya Mkoa iliyopo kwenye Jengo la Mahakama Kuu maeneo ya Forest Mbeya,
Mr. II Sugu  atapandishwa kizimbani kwa mara nyingine tena kwa ajili ya kusikilizwa kwa kesi yake ambayo anatuhumiwa kufanya kusanyiko la umma kinyume cha sheria.


No comments:

Post a Comment