Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Thursday, December 23, 2010

TANGAZO LA MKUTANO WA KUWA SHUKURU WANANCHI WA JIJI LA MBEYA

Mh JOSEPH MBILINYI " Leo Ijumaa tarehe 24 Dec,kutakuwa na mkutano wa kuwashukuru wapiga kura,pamoja na kuwatakia Xmas njema wananchi wa Mbeya..Mkutano utafanyika kwenye uwanja wa soko la Sido,Mwanjelwa...Wote mnakaribishwa kwenye mkutano huu wa kwanza wa hadhara toka tushinde uchaguzi...One luv as alwayz!! "

No comments:

Post a Comment