Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Thursday, December 30, 2010

HATIMAYE SUGU AFANYA MKUTANO WAKUWA SHUKURU WANAMBEYA



 WanaMbeya waki sikiliza kwa makini hatuba ya Mh Joseph Mbilinyi
 Mwenye suti nyeusi ni katibu wa mbunge bwana Fredrik Maliki ( Mkoloni ) akiwa pamoja na Daniel Kamili ( Danny Msimamo )
 Akiwasalimia wakazi wajiji la Mbeya
Umati mkubwa ulifurika katika viwanya vya Sido kumsikiliza Mh Mbunge 



Mh akisisitiza jambo wakatiakiwa hutubia wananchi wa Mbeya

No comments:

Post a Comment