Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Monday, October 8, 2012

MH. JOSEPH MBILINYI (SUGU) ALIPOFANYA MKUTANO WA HADHARA UYOLE YA KATI - MBEYA ...

Mh. Mbunge Sugu akiwasili katika eneo la mkutano..
Mbunge Joseph Mbilinyi akiwahutubia wananchi..
Wananchi wa Uyole kati Mbeya wakimsikiliza Mbunge wao
Baadhi ya wananchi wakisikiliza mkutano wa Mbunge wao Joseph Mbilinyi
Mbunge akiagana na wananchi baada ya kumaliza mkutano wake...
Mh. Mbunge alipata fursa ya kula chakula na makamanda wa Uyole - Mbeya
 

No comments:

Post a Comment