Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Tuesday, May 15, 2012

MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSEPH MBILINYI (SUGU) AANZA ZIARA YA KUZUNGUKA JIMBONI

    Wananchi wa kata wa Ituha wakimsikiliza kwa makini Mbunge wao Joseph Mbilinyi (Sugu)

 Mbunge wa Mbeya mjini akielezea shughuli za utekelezaji ahadi zilizofanyika mpaka kufikia kipindi hiki
 Mheshimiwa Joseph Mbilinyi, Katibu CHADEMA wilaya Criss Mwamasiku (kushoto) na Kamanda Kwame Elly Anangisye (nyuma) wakisikiliza kero na maoni ya wananchi wa kata ya Ituha
 Mwananchi wa Kata ya Ituha akitoa malalamiko yake mbele ya Mbunge wa Mbeya mjini
Wananchi wa Kata ya Ituha wakimsikiliza Mbunge wao Joseph Mbilinyi (Sugu) katika ziara yake ya kutembelea kata za Mbeya mjini

1 comment: