Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Wednesday, June 29, 2011

Mbunge wa Mbeya Mjini akikagua mradi wa mabwawa ya samaki jijini Mbeya

Mh Joseph mbilinyi akisalimiana na wenyeji katika mradi huu wa ufugaji wa samaki


 Hapa akipata maelekezo kutoka kwa wataalam wa ufugaji samaki ambao wali sema  kwamba kwa bwawa lenye ukubwa huu ndani ya kipindi cha miezi mitatu na nusu bwawa hili lina uwezo wa kuzalisa tani saba mpaka tuni za samaki .

hatua ya kwanza ya  ujazaji wa maji ya  kuanzia yalipatikana katika mto ulio jirani na bwawa hili
                                                          ujazaji maji ukiendelea
 chanzo cha maji ambacho kitakuwa kikitumika kujaza maji katika bwawa baada ya hatua ya kwanza kukamilika

No comments:

Post a Comment