Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Wednesday, November 10, 2010

SUGU NDANI YA MJENGO ( Kumekucha Bungeni )

Joseph Mbilinyi ngulii wa Bongo Fleva aka MR. II aka Sugu akiwa katika pozi nje ya mjengo wa bunge baadhi ya watu walisema kuwa hataweza lakini mvua ya ushindi wa kura alizopata kutaka kwa wananchi wa jimbo la Mbeya mjini ndizo zilizowakata ngebe wabaya wake kama kina nanihiii
Sugu akiongea na wandishi wa habari katika eneo la Bunge leo , aliwaambia waandishi kuwa kuja bungeni ni kama anakuja kuanza Form I lakini baada ya kuwakuta makamanda wa habari aliofarijika sana.

No comments:

Post a Comment