Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Monday, November 1, 2010

SUGU ATANGAZWA RASMI KUWA MBUNGE WA JIMBO LA MBEYA MJINI



 waandishi wa habari mbalimbali waki fanya mahojiano na SUGU baada ya kutangazwa mshindi
 Mr II akibadilishana mawazo na Mkoloni ambaye pia alikuyepo kusimamia kura za SUGU  Jijini Mbeya
 Hapa zoezi la kumtangaza mshindi likiendelea ndani ya chumba cha kuhesabia kura

Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini aki pongezwa na viongozi  pamoja na marafiki 


wananchi waki shangilia ushindi katika moja wapo ya vituo vya kupigia kura

No comments:

Post a Comment