Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Friday, November 11, 2011

MAPAMBANO BADO YANAENDELEA KATI YA POLISI NA WAMACHINGA JIJINI MBEYA

 

Baadhi ya wamachinga wakiwa wamelipindua gari yaina ya toyota na kusimama juu yake huku wakitamka maneno makali kwa polisi na jiji la mbeya kwa kuwanyanyasa katika biashara zao
Moja ya mabango waliyobeba wamachinga hao
Wamachinga wakiwazomea polisi eneo la kabwe
Maduka yote eneo la mwanjelwa mpaka uyole yamefungwa
Moja ya gari lililobinuliwa na kuwekwa katikati ya barabara ya mbeya tunduma
Huu ndiyo mtaa wengi huuita mtaa wa kasisi uliyosababisha vurugu zote kati ya wamachinga na askari wa jiji  
Mmachinga akiwarushia jiwe kwa kutumia manati yaani ni hatari tupu
Askari wa kutuliza fujo naye akiwarushia bomu la machozi wamachinga wanaoandamana
Naye mwandishi wetu  wa mbeya yetu Joseph Mwaisango alionja joto ya jiwe baada ya kutupwa ndani ya gari ya polisi kwa kosa la kupiga picha matukio hayo ya wamachinga na polisi  baadaye aliachiwa na kuendelea na kazi yake
RISASI ZA MOTO NAZO ZIMETUMIKA KATIKA TUKUKIO HILI
MABOMU YA MACHOZI NDIYO USISEME KILA MAHALI YAMETAPAKAA
Mwenye kofia haya mwenye supu haya kila mmoja alikua anaokoa uhai wake
Hayo ndiyo maandishi yaliyoandikwa barabarani

kwa ufupi vurugu zinaendelea  zimefika uyole kati hali si shwali barabara zimefungwa sasa nizaidi ya masaa 10 hakuna usafiri yati mbeya iringa wala mbeya tunduma habari kamili tutawaketea baadaye
Asante Mbeya Inogile...

VIJANA WA MWANJELWA WAMLILIA MTETEZI WAO SUGU AWAOKOE

Kutokana na Vurugu kubwa inayoendelea mpaka sasa Maeneo ya Mwanjelwa haya ndio matokeo ya Polisi waliowapiga Risasi wananchi baada ya kushindwa tuliza Vurugu.. Sasa zimefika uyole wananchi wanashusha Bendera za CCM
 
majeruhi wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo
 hii akiwa kapigwa kichwani. Hadi sasa kuna majeruhi wanne
wa risasi, wawili kichwani, mmoja kwenye paja na mwingine mkononi

Mmoja wa majeruhi wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo, Abel Mwalukali akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mbeya baada ya kupigwa risasi kwenye mkono.
 
Hali Hlisi ya Machafuko

 

Polisi wakijaribu Kutuliza Ghasia eneo la tukio dhidi ya Wamachinga
Wananchi wakikimbia kuokoa Maisha yao
Mbio dhidi ya Machafuko

Oooh Mwanjelwa ya WanaMbeya....
 
Baadhi ya Sauti za Vijana zilisikika zikiimba Nyimbo mbalimbali za kumtaka Mkombozi wao Joseph Mbilinyi (SUGU) aje kuwaokoa maana wamechoka kuonewa.

Saturday, September 24, 2011

MVUA KUBWA HAIKUWA KIKWAZO KATIKA MKUTANO WA MBEMBELA BALI MAFANIKIO MAKUBWA


Peoples!!!!!!!!!!!!!!!................POWER!!!!!!!!!!!!!!!!....

Mh Naomi kaiyula akiwasalimia wakazi wa Mbembela

Mh Sugu akiwa salimia wana mbeya kwa salam ya chama kabla haja mnadi mgombea udiwani kata ya Nzovwe

Mvua sikikwazo sisi tunafanya mkutano hivyo hivyo tofa uti na wenzetu walio kimbia na kutelekeza mkutano wao kama inavyo onekana hapo jini

mkutano ulio telekezwa katika viwanja jirani na mkuta wa CHADEMA KATIKA eneo hilo hilo la Mbembela

Umati mkubwa wa watu ulio jitokeza katika eneo la mkutano bila kujali Mvua iliyo kuwa ikinyesha wakati huo

Chademaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!..................Vemaaaaaaaaaaaaaa

Sugu aki mnadi mgombea wa udiwani kata ya Nzovwe

Katibu wa mbunge Bwana fredric maliki (MKOLONI ) na hakuwa nyuma kuwa elimisha wanambeya kwa kuwapa kipande kifupi cha wimbo wake mpya Kauli bila vitendo

Friday, September 23, 2011

MGENI RASMI KATIKA MAAFARI YA KIDATO CHA NNE KATIKA MOJA YA VITUO VYA ELIMU HAPA JIJINI

 Mh Joseph Mbilinyi akiwa hutubia wanafunzi wa KIHUMBE education center katika mahafari yao ya kwanza tangu kuanzishwa kwa kituo hiki cha elimu.
 Wahitimu wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mh mbunge shuleni hapa
 Akiwa sisitiza wanafunzi wasi lizike na elimu walioipata shuleni hapo nahivyo kuto choka kutafuta elimu kwani ndio ufunguo wa maisha yao
picha ya pamoja na watumishi wa KIHUMBE

Akipata picha ya pamoja na wahitimu wa kidato cha nne shuleni hapo mara baada ya kumaliza ugawaji vyeti

SOKO LA SIDO LA NYANYUKA KAMA UYOGA

Taswira mpya baada ya siku sita toka soko lilipo teketea kwa moto na 
ujenzi wa vibanda ukiendelea kwa kasi ya ajabu
Mh Mbunge akisalimiana na moja kati ya wahanga wa ajari ya moto katika soko la Sido

Wahanga wakitoa maoni yao juu ya nini kifanyike ili soko lirudi katika hali yake kama zamani
Baadhi ya wafanya biashara wakubwa sokoni hapa wakizungumza na Mbunge wao Joseph Mbilinyi
Akina mama nao hawakuwa nyuma kutoa shukrani zao kawani ni upendo wa ajabu kutembelewa na Mbunge katika maeneo yao ya biashara haswa sokoni



Jamani poleni na shuhuri ya ujenzi

Jamani poleni na shuhuri ya ujenzi




lundo la mabaki ya takataka haswa mabati katika njia za kuingia sokoni hapa

Sugu akimwambia Mh Diwani wa forest ahakikiswe usafi unafanyika ili watu wapate njia ya kupitisha magari na kuingiza bidhaa zao kwa urahisi

Mh Joseph Mbilinyi akiendelea na ukaguzi sokoni

mafundi waki endelea na kazi ya kuchomelea nguzo za makontena



moja kati ya majeneleta yanayo tumika katika shuhuri ya kuchomelea makontena sokoni hapa

Friday, September 16, 2011

NI SIMAZI KUBWA KWA WANAMBEYA SOKO LA SIDO KUTEKETEA KABISA


               Juhudi za uokoaji mali ziki fanyika katika moja ya njia za kutokea sokoni hapa
 Umati mkubwa wa watu walifulika katika kituo cha magari kabwe kushuhudia tukio hiki kama wanavyo onekana hapo juu
 Mabaki ya vibanda pamoja na maduka yaliokuwepo katika eneo hili , ina semekana kulikuwa na wafanya biashara zaidi ya 1400 katika soko hili
 Wanajeshi pia walikuwepo kuongeza nguvu katika uokoaji wa mali za wafanyabiashara pamoja na kuongeza ulinzi
                       Sugu akipita huku na kule kuhakikisha kazi ya uzimaji moto ina endelea
Mh mbunge akitafakari jambo katika eneo la sido ambapo sehemu kubwa ya soko lilikuwa limekwisha teketea kabisa pia anatoa Pole kwa Wakazi wote wa Jimbo la Mbeya Mjini na kuwasihi wawe Wavumulivu katika Kipindi hiki Kigumu.

                  Uokozi wa mali uki endelea sokoni hapa kama linavyo onekana Gari hilo