Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Sunday, June 14, 2015

KUTOKA OFISI YA MBUNGE MBEYA MJINI..... (SUGU NA ELIMU - 1)

IJUE PROGRAMU YA KOMPYUTA MASHULENI

Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph O. Mbilinyi anaendesha programu ya mafunzo ya kompyuta kwa wanafunzi wa sekondari za Kata zilizopo jijini Mbeya ambapo tayari ameanzisha madarasa ya kompyuta katika shule za sekondari tano (5)  kati ya 10 ambazo zitafikiwa na mradi huu kwa  awamu ya kwanza, shule hizo ni Shule ya Sekondari Mwakibete, Shule ya Sekondari Uyole, Shule ya Sekondari Forest, Shule ya Sekondari Iwambi na Shule ya Sekondari Iganzo. 

Lengo la programu hii ni kuhakikisha wanafunzi wa shule za Mbeya wanapomaliza kidato cha nne (4) wawe na uwezo wa kutumia kompyuta hali iliyopelekea kuongeza hadhi za shule na elimu kwa ujumla katika shule za Kata jijini Mbeya









No comments:

Post a Comment