Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Saturday, March 12, 2011

mkutano wa kujadili maendeleo Uyole-kibonde nyasi

Mh Joseph O Mbilinyi mbunge wa Mbeya mjini akiwahutubia wananchi wa jimbo la Mbeya mjini katika eneo la Kibonde nyasi Uyole jijini Mbeya pamoja na kuwashukuru pia alikuwa akitumia fursa hiyo kuchukua maswali mbali mbali kwa wananchi kabla ya kwenda Bungeni tarehe 5-4-2011.