Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Thursday, December 30, 2010

SUGU NA MAISHA YA KILA SIKU KAMA MBUNGE



                                    Mh SUGU akifanya kazi ofisini kwa kwake 

 Katibu wa Mbunge ( Mkoloni ) pamoja na Sugu  nyumbani wakibadilishana mawili matatu mara  baada ya kutoka ofisini
 Hapa Danny msimamo akibadilishana mawili matatu na Mh SUGU
Sugu akiwa nyumbani kwake

HATIMAYE SUGU AFANYA MKUTANO WAKUWA SHUKURU WANAMBEYA



 WanaMbeya waki sikiliza kwa makini hatuba ya Mh Joseph Mbilinyi
 Mwenye suti nyeusi ni katibu wa mbunge bwana Fredrik Maliki ( Mkoloni ) akiwa pamoja na Daniel Kamili ( Danny Msimamo )
 Akiwasalimia wakazi wajiji la Mbeya
Umati mkubwa ulifurika katika viwanya vya Sido kumsikiliza Mh Mbunge 



Mh akisisitiza jambo wakatiakiwa hutubia wananchi wa Mbeya

Thursday, December 23, 2010

TANGAZO LA MKUTANO WA KUWA SHUKURU WANANCHI WA JIJI LA MBEYA

Mh JOSEPH MBILINYI " Leo Ijumaa tarehe 24 Dec,kutakuwa na mkutano wa kuwashukuru wapiga kura,pamoja na kuwatakia Xmas njema wananchi wa Mbeya..Mkutano utafanyika kwenye uwanja wa soko la Sido,Mwanjelwa...Wote mnakaribishwa kwenye mkutano huu wa kwanza wa hadhara toka tushinde uchaguzi...One luv as alwayz!! "

Monday, November 15, 2010

Mh JOSEPH MBILINYI AKIAPA KUWA TUMIKIA WATANZANIA

Mh JOSEPH MBILINYI akiapa kuwa tumikia watanzania na haswa wananchi wa jimbo lake la MBEYA MJINI
Mh. Joseph Mbilinyi akipongezwa na Spika wa Bunge Mh Anne Makinda mara baada ya kula kiapo.

Wednesday, November 10, 2010

SUGU NDANI YA MJENGO ( Kumekucha Bungeni )

Joseph Mbilinyi ngulii wa Bongo Fleva aka MR. II aka Sugu akiwa katika pozi nje ya mjengo wa bunge baadhi ya watu walisema kuwa hataweza lakini mvua ya ushindi wa kura alizopata kutaka kwa wananchi wa jimbo la Mbeya mjini ndizo zilizowakata ngebe wabaya wake kama kina nanihiii
Sugu akiongea na wandishi wa habari katika eneo la Bunge leo , aliwaambia waandishi kuwa kuja bungeni ni kama anakuja kuanza Form I lakini baada ya kuwakuta makamanda wa habari aliofarijika sana.

Monday, November 1, 2010

SUGU ATANGAZWA RASMI KUWA MBUNGE WA JIMBO LA MBEYA MJINI



 waandishi wa habari mbalimbali waki fanya mahojiano na SUGU baada ya kutangazwa mshindi
 Mr II akibadilishana mawazo na Mkoloni ambaye pia alikuyepo kusimamia kura za SUGU  Jijini Mbeya
 Hapa zoezi la kumtangaza mshindi likiendelea ndani ya chumba cha kuhesabia kura

Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini aki pongezwa na viongozi  pamoja na marafiki 


wananchi waki shangilia ushindi katika moja wapo ya vituo vya kupigia kura

WANANCHI WA JIJI LA MBEYA WALIAHIDI NA SASA IMEKUWA

Dr Slaa na Joseph Mbilinyi mshindi wa kiti cha ubunge jimbo la mbeya mjini anayesubiri kutangazwa rasmi na NEC

Tuesday, October 26, 2010

TUKIWA ENEO LA SAE AMBALO NMDIKO MHESHIMIWA JOSEPH MBILINYI AMEKULIA NA KUISHI KWA MUDA MREFU

 MR II akisisitiza jambo wakati wa mkutano
Huyu jamaa ni mfano mzuri wa jinsi ya kutunza kitambolisho chako chakupigia kura kama anavyo oonekana katika picha hapo juu
Wakazi wa SAE wakisha ngilia jambo wakati wa mkutano

Umati mkubwa wa wakazi wa SAE walio jitokeza kumsikiliza na kumuunga mkono MR II ( SUGU ) 
Mamia ya watu walio fika kumsikiliza  JOSEPH MBILINYI ( MR II )

Tuesday, October 19, 2010

MAELFU WAJITOKEZA KUMUUNGA MKONO JOSEPH MBILINYI (MR II ) KATIKA MKUTANO ULIOFANYIKA MWANJELWA MBEYA


JOSEPH MBILINYI akihutubia maelfu ya watu hapa mwanjelwa 
 Maelfu wakishangilia kwa furaha anayozungumza bwana JOSEPH MBILINYI
 Hapa yalikuwa maandamano ya kumsindikiza SUGU nyumbani haija wahii kutokea kama hivi katika historia ya Mkoa wa mbeya
 Wananchi wakichangia kampeni za sugu hapa mwanjelwa

 Umati mkubwa wa watu ambao haujawahi kujazwa na mgombea yoyote hapa jijini mbeya ila SUGU ameweza kuujaza

 MR II akiongea na wananchi wake katika kampeni hapa Mwanjelwa

Monday, October 18, 2010

JOSEPH MBILINYI - SUGU KATIKA MKUTANO WA KAMPENI MABATINI


 Mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya Mjini Bw. Mwambigija akimwaga upako kabla ya Sugu kupanda

 Msanii mahiri G Solo pamoja na mmoja wa wasimamizi wa kampeni Kwame Anangisye wakiwa na full gwanda

 Watu mbalimbali wakimpongeza baada ya kumaliza mkutano wake wa kampeni

Umati wa wana Mbeya ukimsindikiza Sugu baada ya kumaliza mkutano wake wa kampeni

Monday, October 11, 2010

JOSEPH MBILINYI ( MR II ) AWAKUNA WANANCHI WA JIMBO LA MBEYA KATIKA MDAHALO ULIO FANYIKA HAPA JIJINI

 Mgombea ubunge jimbo la Mbeya mjini Bw Joseph Mbilinyi (MR II) akijinadi mbele ya Mdahalo
Mdahalo umefungwa wananchi walipuka kwa shangwe kwa maelezo ya MR.II

 Wananchi wa jimbo la Mbeya mjini  wakisikiliza kwa uma kini sera za MR II

 Wananchi pia walipata nafasi ya kuuliza maswari yao kwa wagombea ubunge jimbo la mbeya mjini
 Shabiki wa Chadema jimbo la Mbeya mjini akitulizwa na waandaaji wa mdahalo huu wa wagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini ,baada ya kutaka kuvamia jukwaa la MR.II kumpongeza kwa kiasi cha shilingi 2000 kwa maelezo mazuri


 Mdahalo umefungwa wananchi walipuka kwa shangwe kwa maelezo ya MR.II
 Wagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini kutoka kushoto Alimu Tokolosi Suali ( DP), Prince Gwamaka Mwaihojo (CUF) wapili kutoka kulia  na Joseph Mbilinyi ( Chadema)
 Walemavu wasio sikia wakisaidiana kusikia

 Hii ndio hali halisi ya siasa za jimbo la Mbeya mjini mgombea wa Chadema avitisha vyama vya upinzani kutokana na ushirikiano mkubwa anao pewa na wananchi wa jimbo la mbeya mjini
Mamia ya wakazi wa jimbo la Mbeya mjini wakiwa wamefurika katika ukumbi wa Mkapa katika mdahalo huu