Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Tuesday, October 9, 2012

Fuatana na Mbunge SUGU kwenye Mazishi ya Padre Theo John Slaats, Mbeya mjini leo...

Marehemu Padre Theo John Slaats
Wananchi wa Mbeya walifurika kwenye kanisa Katoliki Parokia ya Ruanda, Ilomba - Mbeya Mjini
Jeneza la Padre Slaats katika misa ya mazishi
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Bw. Abbas Kandoro akitoa salamu za rambirambi kanisani
Mh. Joseph Mbilinyi akipita mbele ya kanisa kutoa salamu za rambirambi
 Mh. Sugu akitoa rambirambi zake kwa Askofu Mkuu wa Katoliki jimbo la Mbeya Mhashamu Evarist Chengula
Mbunge akitoa salamu za rambirambi kwa waumini katika misa ya mazishi ya Padre Slaats
 
Mbunge akirudi kuketi baada ya kutoa salamu zake za rambirambi
Mapadre kutoka maeneo mbalimbali nchini walihudhuria mazishi hayo
Askofu Mkuu wa Katoliki jimbo la Mbeya Mhashamu Evarist Chengula akitoka kanisani
Mh. Mbunge akiwa na Mtawa Mkuu wa jimbo la Mbeya katoliki
Mh. SUGU akiwa na Mzee wa kanisa wakati wa mazishi hayo
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi akisign kitabu cha maombolezo katika mazishi hayo
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw. Abbas Kandoro akiongea na Mh. SUGU katika mazishi hayo
Mkuu wa Mkoa Bw. Abbas kandoro akisalimiana na Mama Mbilinyi (Mama mzazi wa Mbunge Sugu) huku Mbunge huyo akiwa katikati
Mh. Mbunge akisalimiana na Askofu Mkuu wa Katoliki jimbo la Mbeya Mhashamu Evarist Chengula
Askofu Mkuu, Mkuu wa Mkoa wakimsikiliza Mbunge
 
Mbunge akiwa eneo la maziko yaliyofanyika katika kanisa hilohilo la Katoliki Parokia ya Ruanda, Ilomba - Mbeya Mjini
Umati wa wananchi wakishuhudia maziko hayo
Mh. Mbunge akiweka shada la maua katika kaburi la Padre Slaats

Askofu Mkuu, Mh. Mbunge na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya wakitoka eneo la maziko

No comments:

Post a Comment