Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Friday, May 18, 2012

KATIKA MUENDELEZO WA ZIARA ZA MH. SUGU, MIKUTANO YA LEO KATA ZA MABATINI NA ITENDE.....KILINUKA KAMA KAWA


Mbeyaaaa!!!!!! ooooooooooooyeeeeeee !!!!! watu " oooyeeeeeeeeeee"

Mzuka wa Chadema na Mbunge wao ukiwa umepanda kwani Mbeya, Mh Sugu hufaha mika kama Raisi wa Mbeya .


Mbunge wa Mbeya Mjini akiwapa ripoti ya kazi Wanambeya juu ya ninikina endelea katika maendeleo ya jiji lao


Takataka haikuwa tatizo kwani watu wanahamu ya kumsikiliza Mbunge wao kiasi cha kukaa ndani na juu ya Ghuba la taka


Umakini mkubwa ulitapakaa kwa Wanambeya wakimsikiliza Mh Sugu kwa makini 

Wazee nao hawako nyuma kwenye mabadiliko ya nchi haswa kwenye mambo muhimu ya jiji la Mbeya kwani wamekuwa bega kwa bega na Mbuge wao

Mbuge akiweka mkazo katika suala la sensa mwaka 2012 kwa wana wa Itende

Mh Mbilinyi alipata nafasi ya kutembelea ofisi ya afisa mtendaji pia ilikupata taarifa na matatizo yanayo wakabili watendaji wa kata kulia kwake ni Mwenyekiti Chadema Mbeya Mjini Bwana John Mwambigija  .

Katibu wa Chadema Mbeya Mjini Bwana Criss Mwamsiku kushoto na Mh Sugu baada ya kusaini kitabu cha wageni katika ofisi ya kata ya Chadema Itende

Mh sugu akipata chakula chamchana katika ofisi ya Chadema kata ya Itende huku akiwatia moyo nakuwapa ujasili wana itende kwa kazi nzuri ya ujenzi wa ofisi hiyo ya chama .

Thursday, May 17, 2012

MH. JOSEPH MBILINYI (SUGU) AENDELEA NA ZIARA YAKE KATIKA JIMBO LA MBEYA MJINI

 Mbunge wa Mbeya Mjini akipokelewa na wananchi wa Kata ya Nsoho kabla ya kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika eneo hilo lililo nje kidogo ya mji wa Mbeya 
 Hapa  Mbunge wa Mbeya mjini akiwaelezea wananchi wa kata ya Iziwa baadhi ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo zilizofanyika mpaka sasa hapa Jimboni
 Wananchi wakimsikiliza kwa makini Mh. Joseph Mbilinyi (Sugu) alipokuwa akiwahutubia wananchi katika ziara ya jimboni kwake Mbeya mjini

 Sugu akisisitiza jambo kwa wananchi wa kata ya Iziwa wakati wa ziara yake ya kuzungukia kata zote za jimbo la Mbeya Mjini
 Wananchi waki msikiliza Mbunge wao Joseph Mbilinyi (Sugu) wakati akiwahutubia katika kiwanja cha kilabu cha Iziwa 
 Mheshimiwa Sugu akikazia jambo ambalo Kamanda Kwame Elly Anangisye (pichani) alikuwa akilipigania kwa maendeleo ya wakazi wa jiji la Mbeya
 Watu wa rika tofauti wa Kata ya Iziwa  wakimsikiliza Mbunge wao Joseph Mbilinyi
  
Mh. Mbilinyi akisikiliza swali lililoandaliwa na Wananchi ili akaulize kwa niaba yao kwenye vikao vijavyo vya Bunge la bajeti.

Tuesday, May 15, 2012

MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSEPH MBILINYI (SUGU) AANZA ZIARA YA KUZUNGUKA JIMBONI

    Wananchi wa kata wa Ituha wakimsikiliza kwa makini Mbunge wao Joseph Mbilinyi (Sugu)

 Mbunge wa Mbeya mjini akielezea shughuli za utekelezaji ahadi zilizofanyika mpaka kufikia kipindi hiki
 Mheshimiwa Joseph Mbilinyi, Katibu CHADEMA wilaya Criss Mwamasiku (kushoto) na Kamanda Kwame Elly Anangisye (nyuma) wakisikiliza kero na maoni ya wananchi wa kata ya Ituha
 Mwananchi wa Kata ya Ituha akitoa malalamiko yake mbele ya Mbunge wa Mbeya mjini
Wananchi wa Kata ya Ituha wakimsikiliza Mbunge wao Joseph Mbilinyi (Sugu) katika ziara yake ya kutembelea kata za Mbeya mjini