Tuko Pamoja

Tuko Pamoja

Thursday, December 30, 2010

SUGU NA MAISHA YA KILA SIKU KAMA MBUNGE



                                    Mh SUGU akifanya kazi ofisini kwa kwake 

 Katibu wa Mbunge ( Mkoloni ) pamoja na Sugu  nyumbani wakibadilishana mawili matatu mara  baada ya kutoka ofisini
 Hapa Danny msimamo akibadilishana mawili matatu na Mh SUGU
Sugu akiwa nyumbani kwake

HATIMAYE SUGU AFANYA MKUTANO WAKUWA SHUKURU WANAMBEYA



 WanaMbeya waki sikiliza kwa makini hatuba ya Mh Joseph Mbilinyi
 Mwenye suti nyeusi ni katibu wa mbunge bwana Fredrik Maliki ( Mkoloni ) akiwa pamoja na Daniel Kamili ( Danny Msimamo )
 Akiwasalimia wakazi wajiji la Mbeya
Umati mkubwa ulifurika katika viwanya vya Sido kumsikiliza Mh Mbunge 



Mh akisisitiza jambo wakatiakiwa hutubia wananchi wa Mbeya

Thursday, December 23, 2010

TANGAZO LA MKUTANO WA KUWA SHUKURU WANANCHI WA JIJI LA MBEYA

Mh JOSEPH MBILINYI " Leo Ijumaa tarehe 24 Dec,kutakuwa na mkutano wa kuwashukuru wapiga kura,pamoja na kuwatakia Xmas njema wananchi wa Mbeya..Mkutano utafanyika kwenye uwanja wa soko la Sido,Mwanjelwa...Wote mnakaribishwa kwenye mkutano huu wa kwanza wa hadhara toka tushinde uchaguzi...One luv as alwayz!! "